Tudumishe mila na utamaduni wa mavazi

Hali ya mvuto wa mfumo ya jamii wa Tanzania ni kivutio kikubwa kwa masuala ya utamaduni, uchumi na utalii.  Hadithi za watu wa kale, ngoma za asilia na aina ya ngoma zinatofautiana kati ya kabila na kabila.  Wanapocheza, Wamakonde kuchezesha viuno vyao kwenda sambamba na ngoma ya “sindimba”, Wazaramo humezwa na maandamano ya “mdundiko”.

Wamaasai huruka kwa mpangilio maalum huko wakitoa  sauti nzito ambazo zinaweza kumwogofya simba dume!  Matumizi ya nyoka hai na kucheza na nyoka wakubwa kama chatu kunakofanywa na Wasukuma wakati wanacheza ngoma ya “Bugobogobo” hakuwezi kusahaulika kwa mgeni.  More

Mke wa Dandu afunga ndoa ya kihistoria Dar

https://i0.wp.com/api.ning.com/files/zFyFwhXzIfG-q9MtRmFsCBBJ9kDvK7F*IbeP0qc-lUlBd8YwIpER3*PmbxFCQ*BnostEswzMH1OscvO6SVIkAj7aoIMKVnEw/devo9.jpg

‘Waifu’ wa aliyekuwa mwanamuziki mwenye jina kubwa ndani na nje ya Bongo, marehemu James Dandu ‘Mtoto wa Dandu’ au ‘Cool James’, Devota Chuwa, ameolewa kwa ndoa ya kihistoria dar

Harusi za asili zaendeleza mila na utamaduni

Harusi  ni  matokeo  ya  ndoa  ya  watu  wawili  walio  kubaliana  kuishi  pamoja  katika   jamii  kwa  lengo  la  kujenga  familia.

Jamii  mbalimbali  zimekuwa  na  taratibu  za  kusherehesha  shughuli  nzima  ya  harusi   kulingana   na  mila  na  taratibu zao  ambazo  wamekubaliana   kuzifuata. More

maendeleo

Harusi za kibongo, ni kivutio kingine cha utalii japo zinazidi kutufanya tubaki maskini wa akili na maendeleo.

Hebu tufikirie kwa pamoja, kwa tukio la harusi tu unakusanya watu zaidi ya mia moja na watu wanachangia zaidi ya hata laki na kuendelea, lakini hawaangalia maendeleo yanakuwaje au wachangie kitu gani ili kuleta maendeleo katika nchi yao.

Katika mipango ya harusi hela nyingi zinatumika na wanapoteza millions za hela kwaajili ya kuchangia harusi ambayo ni ya siku moja.per night achilia mbali zilizokatikia kwenye vikao vya maandalizi. More

Vipaji vya watoto

watoto wakiwezeshwa wanaweza kujenga taifa la kesho

WATOTO wenye vipaji maalumu kama watalelewa na kutunzwa katika mazingira mazuri nchi itazalisha wataalamu wengi wenye ujuzi wa kutosha na hivyo kuondokana na tatizo la kutegemea wataalamu kutoka nje ya nchi,

Kujiajiri ni chimbuko la mafanikio

KILA mwanadamu mwenye utashi thabiti huwa na kiu ya kufanya maendeleo kwenye sekta mbalimbali ili aweze kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya teknolojia, uchumi na utamaduni

Maendeleo ya familia na taifa, hayawezi kupatikana iwapo wananchi hawatashiriki kwenye shughuli za kujiongezea kipato ambazo ni halali.

Kwa muda mrefu watu wamekuwa na dhana kuwa kuajiriwa iwe serikali au kwenye sekta rasmi ndiyo msingi wa maendeleo lakini wanadharau kujiajiri ambako ndiko kwenye ajira nyingi zaidi. More